Monday, December 29, 2008

SALADI YA UKWAJU

VIPIMOKabeji 1/2Karoti 2 Tango
NAMNA YA KUTAYARISHA1.Kata kabeji nyembamba sana2. Zikune karoti zitoke nyembamba3. Kata tango vipande vidogo vidogo.3.Kisha changanya pamoja tia kwenye bakuliUKWAJUVIPIMOUkwaju 1 paketi moja (gm 100)Maji 2 vikombe Thomu chembe tatuTangawizi kipande kidogo tuTende 3 Kitunguu maji 1 kidogoNyanya 1 ndogoPili pili mbichi 3NAMNA YA KUTAYARISHA1.Toa kokwa katika ukwaju 2.lowanisha na maji kisha kamua na utupe kokwa 3. Tia katika sufuria na tia vitu vyote vingine ndani ya sufuria.4.Chemsha, na ikianza kuchemka ipike kwa muda wa dakika 5.5.Epua na uache upoe kisha usage katika mashine ya kusagia (blender) – uko tayari kuliwa na kuku na saladi.

No comments: