Sunday, November 23, 2008

MTU KUWA MASKINI NI MAAMUZI?

Na.mwantumu Jongo
Kila mtu anataka kuwa na maisha mazuri ndio ndoto zetu watu wote lakini ndoto hizi zimekuwa zikikwama kutokana na sababu moja au nyingine hii ni hali halisi iliyopo katika jamii zetu kwani watu hutofautiana katika utofauti uliodhahiri kwani wengine wafupi wengine wanene hata wembamba n.k.

Hata katika hali ya mapato kuna wengine ni maskini na wengine ni matajiri hali hii ndiyo iliyonifanya niandike habari hii hivi tujiulize mtu kuwa maskini ni maamuzi na je atauendeleza huo umaskini ukweli uliodhahiri ni kwamba mtu kuwa maskini si maamuzi ya mtu binafsi.

Kila mtu hupenda kuwa na maisha mazuri kama wengine lakini ni jinsi gani ataweza kufikia huko huwa ni tatizo linalotusumbua watu wengi kwani huweza kupanga malengo yako vizuri lakini mwishowe katika utekelezaji hufikii kiwango cha lengo ulilolipanga na hatimaye kuibukia katika umaskini.

Hakika penye wengi hapaharibiki na jambo sikia watu wakielezea kwanini wengine wawe matajiri na wengine maskini?Veronica johson alisema umaskini unatokana na watu kukosa shughuli za kujikwamua kiuchumi ,mtaji na nyenzo za kufanyia kazi mfano mzuri una ardhi nzuri kwa ajili ya kilimo,jembe,unaafya nzuri yaani nguvu kazi unayo lakini unalima kilimo kisicho na tija kutokana na kukosa uelewa wa kufanya kazi mtu huibukia katika lindi la umaskini.

Hata hivyo umaskini unaweza kusababishwa na sera za mahali zikiwa nzuri yaani viongozi wake wanapanga na kutekeleza kwa usahihi watu wake wataondokana na umaskini eneo lisilokuwa na utaratibu mzuri wa upangiliaji wa sera zake miradi mingi ya kimaendeleo itayumba ama kusua sua hivyo umaskini hautakwepeka.

Kutokuwa na Uwiano katika mgawanyo wa rasilimali hili nalo ni tatizo kubwa lialosababisha watu wengi kuwa maskini mgawanyo usio sahihi wa rasilimali zilizopo katika nchi zetu ni chimbuko la umaskini linalosababishwa kwa kutokufuatiliwa kwa umakini na viongozi wetu kwa kutokuwepo kwa utawala bora kwani wao wanatakiwa waangalie rasilimali ili ziweze kutumika kwa usahihi na wananchi waweze kunufaika nazo badala yake wachache hunufaika kwa minajiri ya rushwa na hata ufisadi ambao ni adui katika mataifa yetu machanga yanayoendelea.

akifanya kazi kwa bididi ataondiokana na umaskini hata katika vitabu vya mungu tunaambiwa hangiaikeni mtafanikiwa hivyo binadamu akijishughulisha atafanikiwa.Hata utajirir wa kurithishwa usipoendeleza kwa kufanya kazi kwa bididi kama ni mali zitayeyukana kama mifugo itakwisha hivyo basii huna budi kufanya kazi9 kwa bididi ili uondokane na hali ya umaskini hakuna mtu aliyeandikiwa kuwa maskini milele hivyo basi wakati ni huu kwa jamii kubadilika.Bi ana Kim allisema mila potofu zinachangia watu kuwa maskini kwani wananshindwa kujiendelelza kwa kuogopa kuwa watarogwa mfano mzuri jamii nyingimne wanaogopa kujenga nyumba za bati kwa kuogopa watarogwa na hata kuwasomesha watoto shule hivyo

No comments: